UTAMU NA FURAHA YA MAPENZI!

       HUDUMA YA MAPENZI MATAMU!


Hisia ni mawasiliano! Mapenzi ni hisia! Mapenzi ni mawasiliano!


Mawasiliano matamu hutia radha katika mapenzi! Uchawi wa mapenzi upo katika mawasiliano!

Kila siku tunapaswa kuwa wapya katika mahusiano yetu kwa kutafta namna tamu za kuwasiliana na wapendwa wetu katika kufikisha hisia zetu juu yao!

Kwa mtu sahihi hauna haja ya kutafuta namna mpya za kumvutia!  Uwepo wako kwake ni faraja tosha ya maisha! Chamsingi usiwe mbali ya mboni zake!

Hisia zinaumiza sana usipojua namna bora na njema ya kuishi maisha yako ya amani na furaha!
Tumaini lako daima liwe kwa Mungu, mwanadamu tumia akili na utashi huna haja ya kujitesa hisia! AMEN! 

Comments

  1. Baada ya kuona chapisho kwenye mtandao la Jenna kutoka USA akisema jinsi alivyosaidiwa na Dk. DAWN, niliamua pia kuwasiliana naye kwa msaada kwa sababu sikuwa na chaguo nilichotaka ni kumrudisha mpenzi wangu na furaha. Kwa mshangao mkubwa mpenzi wangu alifika nyumbani akiwa amepiga magoti kwamba nitafute nafasi moyoni mwangu kumsamehe, hakika nilistaajabu na kushtuka mpenzi wangu alipopiga magoti akiomba msamaha na mimi nimkubalie tena. Kweli nimepungukiwa na maneno, na sijui ni kiasi gani cha kukushukuru wewe Dr. DAWN. Wewe ni Mungu aliyetumwa kurejesha uhusiano uliovunjika, Na sasa mimi ni mwanamke mwenye furaha. mawasiliano yake ni Whatsapp +2349046229159

    ReplyDelete

Post a Comment

Popular posts from this blog

NJIA SAHIHI YA KUMPATA MCHUMBA BORA WA MAISHA!